Awamu ya 5 imesahau kumkomboa mwanamke - Mghwira

Anna Mghwira - mwenyekiti ACT-Wazalendo

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT – Wazalendo Anna Mghwira amedai kuwa harakati za kudai haki za wanawake na usawa wa kijinsia zimerudi nyuma kwa kias kikubwa katika kipindi hiki cha uongozi wa wamu ya tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS