Dortmund wamkaribisha Bolt kufanya mazoezi Usain Bolt Klabu ya Ujerumani ya Borussia Dortmund imesema kuwa mwanariadha wa mbio fupi kutoka Jamaica Usain Bolt atashiriki katika mazoezi na klabu hiyo kwa siku chache. Read more about Dortmund wamkaribisha Bolt kufanya mazoezi