Wachina njooni mjenge viwanda vyenu Tanzania - TIC

Baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini China na wanaofanya biashara hapa nchini wakiwa katikia mkutano ulioitishwa na Mamlaka ya Mapato nchini TRA

Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimewaomba wawekezaji kutoka nchini China kuja kuwekeza viwanda vyao hapa nchini hususani vile vinavyotumia teknolojia rahisi na vinavyoajiri idadi kubwa ya watu katika uzalishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS