Wadaiwa sugu Bodi ya Mikopo wapewa siku 30 Abdul-Razaq Badru - Mkurugenzi Mtendaji HESLB Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetoa siku 30 kuanzia leo Novemba 14, 2016 kwa wanufaika wa mikopo hiyo ambao imewaita "Wadaiwa Sugu" kulipa madeni yao, vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria. Read more about Wadaiwa sugu Bodi ya Mikopo wapewa siku 30