Jahazi limevunjwa na Mungu - Khadija Yusuph

Khadija Yusuph

Msanii wa taarabu nchini Khadija Yusuph amesema hakuna tena kundi la Jahazi Morden Taarabu kwa sasa na tayari wamegawana vitu vilivyokuwa ndani ya kundi hilo na yeye kwa sasa yupo kwa Thabit Abdul.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS