Sijawahi kuomba kolabo kwa wabongo - Q Chillah
Msanii nguli wa bongo fleva Q Chillah amesema hajawahi kumpigia msanii yoyote hapa Tanzania kumuomba wafanye kolabo japo yeye amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa wasanii mbalimbali wakimuomba kufanya naye kolabo.