Sijawahi kuomba kolabo kwa wabongo - Q Chillah

Msanii nguli wa bongo fleva Q Chillah amesema hajawahi kumpigia msanii yoyote hapa Tanzania kumuomba wafanye kolabo japo yeye amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa wasanii mbalimbali wakimuomba kufanya naye kolabo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS