Amiri Jeshi Mkuu Rais Magufuli akipigiwa mizinga 21 katika sherehe za uhuru
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewaomba radhi watanzania ambaowalichukizwa na maamuzi yake aliyoyafnya mwaka jana ya kufuta sherehe za uhuru na badala yake kutumia pesa kwenye upanuzi wa barabara.