Rais Magufuli akutana na Thabo Mbeki Ikulu, Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Thabo Mbeki , Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Afrika Kusini Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 14,2016

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mhe. Thabo Mbeki ambapo viongozi hao wawili wamezungumzia masuala mbalimbali kuhusu Umoja wa Afrika (AU).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS