Google kufungua makao makuu nchini Uingereza Ofisi ya kampuni ya Google iliyoko London Uingereza Kampuni ya mawasiliano ya Google inafungua makao yake makuu jijini London nchini Uingereza hatua ambayo itatengeneza ajira 3000 mpaka ifikapo mwaka 2020. Read more about Google kufungua makao makuu nchini Uingereza