Rais wa Syria atoa sharti kwa Donald Trump

Bashar Al Assad (Kushoto) , Donald Trump (Kulia)

Rais wa Syria Bashar Al Assad amesema kuwa Rais mteule wa Marekani Donald Trump anaweza kuwa mshirika wake iwapo atafuata ahadi zake za kukabiliana na magaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS