Bongo Movie imejaa ubaguzi - Mshiriki EATV Awards

Khadija Ally

Nyota wa filamu nchini Tanzania aliyefanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Tuzo za EATV (EATV Awards) mwanadada Khadija Ally amefunguka na kuichana tasnia ya filamu nchini kuwa imejaa ubaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS