Bongo Movie imejaa ubaguzi - Mshiriki EATV Awards Khadija Ally Nyota wa filamu nchini Tanzania aliyefanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Tuzo za EATV (EATV Awards) mwanadada Khadija Ally amefunguka na kuichana tasnia ya filamu nchini kuwa imejaa ubaguzi. Read more about Bongo Movie imejaa ubaguzi - Mshiriki EATV Awards