Serikali kuwaboreshea wasichana mazingira ya elimu

Makamu wa Rais katika shule za sekondari  Idetemya

Makamu wa Rais, Samia Suluhu amesisitiza kwamba serikali ya awamu ya tano itaendelea kuboresha mazingira ya kusomea kwa wanafunzi wa kike nchini ikiwamo kuwajengea mabweni ili kuwaepusha na  vishawishi mbalimbali wanavyokutana navyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS