Serikali kuwaboreshea wasichana mazingira ya elimu
Makamu wa Rais, Samia Suluhu amesisitiza kwamba serikali ya awamu ya tano itaendelea kuboresha mazingira ya kusomea kwa wanafunzi wa kike nchini ikiwamo kuwajengea mabweni ili kuwaepusha na vishawishi mbalimbali wanavyokutana navyo.