Ligi ya taifa baseball yaanza kuunguruma
Vilabu 10 vya shule za sekondari kutoka mikoa mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar vinataraji kushiriki katika shindano maalum la taifa la mchezo wa Baseball na Softball itakayofanyika jijini Dar es Salaam Desemba 9 mwaka huu.