
Wachezaji wa mchezo wa Baseball wakichuana.
Katibu mkuu wa Chama cha Baseball na Softball Tanzania TABSA Alpherio Nchimbi amesema hayo wakati akizungumza na kipindi cha Kipenga juu ya maandalizi ya michuano hiyo ambayo pia itahudhuriwa na watu mbalimbali maarufu wa mchezo huo duniani.