Majaliwa amtumbua mwekahazina kwa ubadhirifu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Kulia), pembeni yake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha mrisho Gambo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi aliyekuwa Mwekahazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Bw. Issai Mbilu ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma na kuagiza arudishwe kujibu tuhuma za ubadhirifu sh. milioni 642.4

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS