Majaliwa amtumbua mwekahazina kwa ubadhirifu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi aliyekuwa Mwekahazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Bw. Issai Mbilu ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma na kuagiza arudishwe kujibu tuhuma za ubadhirifu sh. milioni 642.4

