Hatimaye Njombe yapata hospitali ya rufaa

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi akihojiwa na Waaandishi wa Habari.

Serikali mkoani Njombe imesaini mkataba wa kuchukua Hospitali ya Kibena ambayo awali ilikuwa ya Halmashauri ya Mji wa Njombe na sasa kuwa kuwa kuwa hospitali ya rufaa ya mkoa kwa muda wakati mkoa ukiendelea na ujenzi wa hospitali yake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS