Serikali yapiga marufuku utoaji zabuni kiholela

Selemani Jafo - Naibu Waziri TAMISEMI

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Mhe. Seleman Jafo amepiga marufuku utoaji wa zabuni kwa wakandarasi ambao hawana ofisi zinazowatambulisha katika maeneo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS