Halmashauri za Afrika Mashariki vinara wa rushwa

Rais wa (EAAACA) wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa kwa nchini za Afrika Mashariki, Valentino Mlowola.

Imebainika kuwa halmashauri za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, zinaongoza katika kujihusisha masuala ya rushwa jambo linalokuwa changamoto kubwa katika vita ya kupambana na rushwa licha ya jitihada kubwa zinazofanywa na nchi wahusika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS