Kikosi kipya 'beach soccer' chaingia kambini

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya mpira wa ufukweni

Meneja wa timu ya Taifa ya Mpira wa Ufukweni Deo Lucas ametaja kikosi cha wachezaji 12 ambacho kitaingia kambini kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda mchezo utakaopigwa Desemba 9 mwaka huu jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS