WHO yatoa mwongozo mpya wa kujipima UKIMWI

Kifaa kinachotambulika kwa jina la OralQuick kilichoundwa nchini Marekani sasa chaweza kutumika katika kupima virusi vya UKIMWI kwa kuweka katika ufizi.

Kuelekea siku ya UKIMWI duniani Desemba 01, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza mwongozo mpya wa kujipima Virusi Vya Ukimwi, VVU kwa lengo la kupanua upatikanaji wa huduma hiyo na uchunguzi wa virusi hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS