WHO yatoa mwongozo mpya wa kujipima UKIMWI
Kuelekea siku ya UKIMWI duniani Desemba 01, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza mwongozo mpya wa kujipima Virusi Vya Ukimwi, VVU kwa lengo la kupanua upatikanaji wa huduma hiyo na uchunguzi wa virusi hivyo.