Jaji mmoja asikiliza kesi 478 badala ya 178 Kaimu Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma Kaimu Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma, amesema moja ya sababu ya kuchelewa kwa mashauri mahakamani ni upungufu wa watumishi, hususani Majaji ambao kila mwaka hupungua kutokana na kustaafu. Read more about Jaji mmoja asikiliza kesi 478 badala ya 178