Bila wanawake hakuna maendeleo - Balozi Cooke Sarah Cooke, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Wanawake wametajwa kuwa kundi muhimu katika harakati za kukuza uchumi na kupunguza umaskini katika jamii, kutokana na namna wanavyoshiriki kwa wingi katika shughuli mbali mbali za ujasiriamali. Read more about Bila wanawake hakuna maendeleo - Balozi Cooke