Pacquiao ataka mashabiki wamchagulie bondia

Manny Pacquiao

Bingwa wa dunia wa mkanda wa WBO uzito wa welterweight, Manny Pacquiao amewaomba mashabiki wake wa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kumchagulia bondia wa kupambana naye katika mchezo ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS