Watu 80 mbaroni kwa dawa za kulevya Arusha

ACP Charles Mkumbo - Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha, limenasa watuhumiwa 80 wanaojihusisha na mtandao wa dawa za kulevya akiwemo askari Polisi mmoja mwenye namba 6978 Koplo zakayo, ambaye anashikiliwa kwa mahojiano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS