Lissu, Masha wanunua kesi ya kupinga uchaguzi TLS

Tundu Lissu

Baadhi ya wagombea wa nafasi ya  urais kupitia kwa chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS wanatarajia kuwasilisha maombi ya kujumuishwa kama wadaiwa katika kesi ya kupinga kufanyika kwa uchaguzi wao uliopangwa kufanyika tarehe 18  ya mwezi huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS