'Mwamuzi wa Chirwa' aondolewa kwenye orodha

Mwamuzi Ahmada Simba (mwenye nguo ya njano katikati) akisuhisha jambo wakati wa mchezo kati ya Yanga na Ruvu Shooting katika dimba la Taifa DSM

Kamati ya Bodi ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi za Tanzania (Kamati ya Saa 72), imemwondoa Mwamuzi wa kati, Ahmada Simba katika orodha wa waamuzi watakaochezesha mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu wa 2016/2017.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS