Mazungumzo Waziri wa Mambo ya Nje Dkt. Augustine Mahiga wakati akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Antonio Guterres kwenye Uwanja wa Ndege wa Dar Es Salaam alipopita akitokea nchini Kenya kwenda Afrika Kusini. Read more about Mazungumzo