Walioongoza mgomo wa madaktari watupwa jela

Katibu Mkuu wa Chama Chama Madaktari Kenya Ouma Oluga (kushoto) akiwa na viongozi wenzake mahakamani kabla ya kuhukumiwa kifungo cha mwezi mmoja

Mahakama ya Kazi nchini Kenya imewahukumu viongozi saba wa chama cha watumishi wa afya kifungo cha mwezi mmoja jela kwa kukaidi agizo la kumaliza mgomo ambao umedumu kwa zaidi ya miezi miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS