Mbunge na mkewe watema madini ya Valentine's Day
Mbunge wa Singida Magharibi Elibariki Kingu akiwa ameambatana na mke wake Bi. Anna Jacob hii leo wametema madini kama fundisho kwa wanandoa, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya 'Siku ya Wapendanao' (Valentine's Day), tarehe 14 Februari kila mwaka.