Watu 77 wauwawa
Jeshi la Syria limefanya mashambulizi makali dhidi ya eneo la Ghouta Mashariki linalodhibitiwa na waasi, ambapo inakadiriwa watu wasiopungua 98 wameuawa katika mashambulizi hayo yalianza usiku wa kuamkia leo, na taarifa zinadai hadi sasa yanaendelea

