Watu 77 wauwawa

Picha hii haihusiani na tukio husika.

Jeshi la Syria limefanya mashambulizi makali dhidi ya eneo la Ghouta Mashariki linalodhibitiwa na waasi, ambapo inakadiriwa watu wasiopungua 98 wameuawa katika mashambulizi hayo yalianza usiku wa kuamkia leo, na taarifa zinadai hadi sasa yanaendelea

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS