CAF yaipa uhakika Simba
Shirikisho la soka Barani Afrika limeithibitishia Simba SC tarehe rasmi ya michezo yao miwili ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry ya Misri, ambapo mechi ya kwanza itapigwa Dar es salaam na kisha Simba kwenda Misri kwa marudiano.

