Shilole afunguka kuhusu kupigana na mumewe Shilole akiwa katika picha ya pamoja na mumewe Uchebe Msanii wa muziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed 'Shilole' amesema hawezi kuthubutu kwa sasa kupigana na mume wake Uchebe kwani sasa amekuwa mtu mzima na mapenzi ya kupigana yalikuwa ya utoto. Read more about Shilole afunguka kuhusu kupigana na mumewe