CHADEMA yatoa tamko kuhusu 40 walikamatwa

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika amelitaka Jeshi la Polisi nchini kutoa kauli juu ya watu 40 waliokamatwa kwenye maandamano ya chama hicho Februari 16, 2018 katika eneo la Magomeni Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS