Simba yaeleza hali ya Okwi Uongozi wa Klabu ya Simba umesema hali ya mchezaji wao Emmanuel Okwi unaendelea vizuri huku wakidai kuwa jioni ya leo ataungana na wenzake kufanya mazoezi katika uwanja wa Boko Jijini Dar es Salaam. Read more about Simba yaeleza hali ya Okwi