Simba yaeleza hali ya Okwi

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema hali ya mchezaji wao Emmanuel Okwi unaendelea vizuri huku wakidai kuwa jioni ya leo ataungana na wenzake kufanya mazoezi katika uwanja wa Boko Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS