NEC yazungumzia kuhamisha vituo Kinondoni

Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC imesema uamuzi wa kuhamisha vituo 46 vya kupigia kura katika jimbo la Kinondoni umezingatia matakwa ya kanuni za Uchaguzi kwa kuvishirikisha vyama vyote vya siasa ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS