Tundu Lissu afunguka
Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya (CHADEMA) Mhe. Tundu Antiphas Lissu amefunguka na kusema amefarijika sana kutembelewa na Mbunge wa Tandahimba (CUF) Katani Ahmad Katani na kudai mbunge huyo alikuwa miongoni mwa watu waliompeleka Nairobi.

