Jonas Savimbi, mtoto wa mhubiri alikuwa muasi

Jonas Savimbi

Jonas Malheiro Savimbi alizaliwa Agosti 3, 1934 huko Angola, baba yake akiwa ni mkuu wa kituo cha reli cha Benguela Rail way line na mhubiri. Wazazi wake wote wawili walikuwa ni wa jamii ya Ovimbundu, ambayo ilikuja kuwa msingi mkubwa wa Savimbi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS