TP Mazembe kuwa wafalme wa Afrika ?

Bara la Afrika leo linatarajia kupata mfalme wa soka kwa msimu wa 2016/17, ambapo Wydad Casablanca ambao ni washindi wa ligi ya mabingwa Africa pamoja na TP Mazembe, mabingwa wa kombe la shirikisho watakutana kumsaka mshndi wa jumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS