Ubaguzi wa rangi ulivyomuondoa Hector Peterson
Watu wengi wanafahamu siku ya mtoto wa Afrika ambayo huadhimishwa Juni 16 kila mwaka, baadhi wamekuwa wakifahamu historia ya siku hii na baadhi wakiwa bado gizani ni kitu gani hasa kilisababisha kuwekwa kwa siku hii kubwa kwa kizazi cha Afrika.

