Zitto Kabwe aachiwa huru

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa huru kwa dhamana ya Polisi yenye thamani ya Milioni 50 muda huu baada ya kulala mahabusu tokea jana (Alhamisi) usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS