“Serikali sasa imejifunza”- Nape

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, amesema kuwa mapendekezo ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imekuwa nzuri na ipo kimkakati zaidi ukilinganisha na bajeti za miaka miwili iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS