Kuhusu vitambulisho vya Taifa visivyo na sahihi

Wananchi wakiwa kwenye banda la NIDA wakijiandikisha kwaajili ya kupata vitambulisho.

Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), imesema kuwa suala la kubadilisha vitambulisho vya awali ni gharama kwa serikali hivyo wameamua kutafuta njia mbadala ambayo imeanza kutekelezeka bila kuathiri upatikanaji wa taarifa za mhusika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS