Rais wa shirikisho la ngumi za kulipwa nchini (TPBO), Yassin Abdallah ‘Ustadhi’(kushoto) na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia).
Shirikisho la ngumi za kulipwa nchini (TPBO) limeomba kukutana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ili wajadili kuhusu mgogoro wa tasnia ya ngumi hivi sasa.