Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF) Selemani Bungara akichangia Bungeni.
Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF) Selemani Bungara, maarufu ‘Bwege’ amefunguka kuwa anampenda mbunge wa Geita vijijini (CCM), Joseph Musukuma kwa kile alichodai kuwa ni mkweli tofauti na wabunge wengine wenye elimu kubwa.