Viongozi wa Njombe Mji wanyoosha mikono

Kikosi cha Njombe Mji kilichocheza ligi kuu msimu wa 2017/18.

Kamati ya utendaji ya klabu ya Njombe mji imeikabidhi timu hiyo kwa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Njombe (NJOREFA), kwaajili ya usimamizi kutokana na viongozi wa timu hiyo kumaliza muda wao na wengine kujiuzulu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS