''Mimi ndio niliamua hivyo'' - Masoud Djuma

Kocha wa Simba Masoud Djuma

Baada ya klabu ya soka ya Simba kufungwa mabao 2-1 na Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame hapo jana usiku, kocha wa Simba Masoud Djuma amesema mashabiki hawatakiwi kulalamika kwa kutokuwepo baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS