Wao ndiyo wenye matatizo- Polepole

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina wasiwasi wa aina yoyote na Tume ya Uchaguzi (NEC) katika uchaguzi mdogo wa marudio wa Ubunge katika Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma huku kikidai waoitilia shaka tume hiyo wao ndio wenye matatizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS