Manara atoa msimamo kuhusu kambi ya Simba
Kuelekea ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2018/19, kambi ya mabingwa watetezi Simba, imeendelea kuwa siri licha ya wachezaji waliokuwa mapumzikoni kutakiwa kuanza kuripoti leo huku kukiwepo na tetesi kuwa itakuwa nje nchi.