Manara atoa msimamo kuhusu kambi ya Simba

Wachezaji wa Simba wakijadili jambo kwenye moja ya mechi zao msimu uliopita.

Kuelekea ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2018/19, kambi ya mabingwa watetezi Simba, imeendelea kuwa siri licha ya wachezaji waliokuwa mapumzikoni kutakiwa kuanza kuripoti leo huku kukiwepo na tetesi kuwa itakuwa nje nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS