Warioba afichua siri nzito siku ya uhuru

Waziri Mkuu wa 5 wa Tanzania, Joseph Warioba.

Waziri Mkuu wa 5 wa Tanzania, Joseph Warioba amefunguka juu ya tarehe 9 Disemba, siku ya ambayo Tanzania imekuwa ikisheherekea kupatikana kwa uhuru, ambapo ameeleza kwa wakati huo kuendesha nchi ilikuwa ni kitu kigumu sana kwa sababu kulikuwa na wasomi wachache.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS