Musukuma amrejesha kiongozi aliyetumbuliwa

Mbunge wa Geita Vijijini Musukuma

Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma na Mjumbe wa Halmashsauri kuu ya CCM Mkoa wa Geita, amemrejeshea nafasi yake Mwenyekiti wa Kitongoji cha Misheni, Lucas Jackson(CCM), Kilichopo katika Kijiji cha Nyawilimilwa wilayani Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS