Hatimaye Yondani arejea Yanga, Ajibu hayupo Kushoto ni Kelvin Yondani na kulia ni Ibrahim Ajibu Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amethibitisha kurejea kikosini kwa mlinzi mkongwe wa timu hiyo Kelvin Yondani baada ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu. Read more about Hatimaye Yondani arejea Yanga, Ajibu hayupo