Mwanamke apambana na jambazi kumwokoa mumewe

Waziri Lugola alipofika hospitali kumjulia hali, Samson Malegesi aliyekatwa na mapanga baada ya kuvamiwa nyumbani kwake.

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mahyolo, wilayani Bunda mkoani Mara, Busimba Malegesi, ameonyesha ushujaa wa aina yake baada ya kumwokoa mume wake baada ya kuvamiwa na jambazi mwenye silaha ambaye aliwaingilia usiku nyumbani kwao wakiwa wamelala.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS