Mwanamke apambana na jambazi kumwokoa mumewe
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mahyolo, wilayani Bunda mkoani Mara, Busimba Malegesi, ameonyesha ushujaa wa aina yake baada ya kumwokoa mume wake baada ya kuvamiwa na jambazi mwenye silaha ambaye aliwaingilia usiku nyumbani kwao wakiwa wamelala.