Simba tulijua ipo, itatumika kama kipimo Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi Klabu ya soka ya KMC kupitia kwa kocha wake Ettiene Ndayiragije, imesema imejiandaa vyema na mchezo wake wa kesho dhidi ya Simba kwani mchezo huo ni sehemu ya ratiba japo ni kipimo kwa wachezaji wake. Read more about Simba tulijua ipo, itatumika kama kipimo