Msanii wa Bongofleva aja na ngoma 20

P1 Black

Mkali wa 'Hit song' za kitambo, P1 Black ambaye aliyetamba na ngoma kama 'Nini mnataka' na 'Nisikilize me' ft Mr blue amesema baada ya kimya kirefu sasa ameamua kurejea rasmi akiwa amelisoma vizuri soko la muziki na kujipanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS