Msanii wa Bongofleva aja na ngoma 20
Mkali wa 'Hit song' za kitambo, P1 Black ambaye aliyetamba na ngoma kama 'Nini mnataka' na 'Nisikilize me' ft Mr blue amesema baada ya kimya kirefu sasa ameamua kurejea rasmi akiwa amelisoma vizuri soko la muziki na kujipanga.

